Je daktari wa Tiba ya Jadi au Tiba Mbadala na wa Tiba ya kisasa wanaweza kufanya kazi ya kutoa huduma ya afya kwa Mwanadamu kwa kushirikiana? Kama inawezekana kwa nini hizo sekta mbili bado zina utengano mkubwa nchini Tanzania. Unafikiri Kifanyike nini ili ushirikiano huo uwepo kama inafaa.
KWA HESHIMA YA MZEE MUTARAGARA CHIRANGI ( Nyarutangwe - Omwana wa Nyamurugwa wa Kafwenyi). ALISUKUMWA NA DHANA YA KUTENDA HAKI NA KUISHI KWA 'STD' INAYORIDHISHA. ALIONGEA JUU YA HAKI, AKATENDA HAKI KI-STD, AKAITWA MZEE WA STD-MTETEZI WA HAKI. NJOO TUSHAURIANE JUU YA KUBORESHA MAISHA YETU ILI TUISHI KATIKA HAKI NA KWA STD INAYORIDHISHA
Showing posts with label Tiba ya Kisasa. Show all posts
Showing posts with label Tiba ya Kisasa. Show all posts
Wednesday, December 19, 2007
TIBA YA JADI/ MBADALA NA TIBA YA KISASA
Je daktari wa Tiba ya Jadi au Tiba Mbadala na wa Tiba ya kisasa wanaweza kufanya kazi ya kutoa huduma ya afya kwa Mwanadamu kwa kushirikiana? Kama inawezekana kwa nini hizo sekta mbili bado zina utengano mkubwa nchini Tanzania. Unafikiri Kifanyike nini ili ushirikiano huo uwepo kama inafaa.
Labels:
Tiba ya jadi/Mbadala,
Tiba ya Kisasa
Subscribe to:
Posts (Atom)