Saturday, December 30, 2017

Asanteni Sana WanaCCM 2017





 Wanachama wa CCM;  Rafiki  na ndugu zangu;

 Asanteni sana kwa kunitia moyo na kunifanya kuwa Mgombea Uwenyekiti CCM Mkoani Mara.

"Mpira wangu waweza kuwa umegonga nguzo ya goli; lakini bado upo uwanjani ; bado upo mchezoni"

Ada ya mja hunena Muungwana ni  kitendo.  Kwa kila jambo na majira yake. Tutakiane Kheri katika mwaka mpya wa 1918.