
Katika uzinduzi rasmi wa Kanda ya Afika ya ICSU.(http://www.icsu-africa.org/) September 2005,
Prof. Dr. Sospeter Muhongo wa Nyawayega
Mwanasayansi Mahiri na Mkurugenzi Mfawidhi wa ICSU-Kanda ya Afrika anadodosa Malengo ya Asasi hii ya Kimataifa, Hali ya Bara letu la Afrika na changamoto zinazotukabili.
(Ukipenda kupata muhtasari wa wasifu wa Mtanzania huyu kiongozi, bofya hapa: http://www.icsu-africa.org/icsuafricabios.htm#muhongo)
SEHEMU YA HOTUBA YAKE:
The Harsh Reality
About 40% of Sub-Saharan Africa (ca 250 million people) lives in absolute poverty



Akihitimisha hotuba hiyo ya ufunguzi, kiongozi huyu alimnukuu gwiji wa Falsafa na Mwanasayansi Aristotle (384KK -322KK) akisema,
"...friendship is a single soul dwelling in two bodies"
Hivyo basi sote kama Waafrika, ingawa tuna miili na nasaba anuwai ni vema tuwe marafiki kwa kunia mamoja kwa roho moja (with a single soul) ya kufanya Tafiti na kutumia Sayansi endelevu kwa ajili ya kuboresha Afya na Maisha yetu kwa ujumla!