Je daktari wa Tiba ya Jadi au Tiba Mbadala na wa Tiba ya kisasa wanaweza kufanya kazi ya kutoa huduma ya afya kwa Mwanadamu kwa kushirikiana? Kama inawezekana kwa nini hizo sekta mbili bado zina utengano mkubwa nchini Tanzania. Unafikiri Kifanyike nini ili ushirikiano huo uwepo kama inafaa.
KWA HESHIMA YA MZEE MUTARAGARA CHIRANGI ( Nyarutangwe - Omwana wa Nyamurugwa wa Kafwenyi). ALISUKUMWA NA DHANA YA KUTENDA HAKI NA KUISHI KWA 'STD' INAYORIDHISHA. ALIONGEA JUU YA HAKI, AKATENDA HAKI KI-STD, AKAITWA MZEE WA STD-MTETEZI WA HAKI. NJOO TUSHAURIANE JUU YA KUBORESHA MAISHA YETU ILI TUISHI KATIKA HAKI NA KWA STD INAYORIDHISHA
Wednesday, December 19, 2007
TIBA YA JADI/ MBADALA NA TIBA YA KISASA
Je daktari wa Tiba ya Jadi au Tiba Mbadala na wa Tiba ya kisasa wanaweza kufanya kazi ya kutoa huduma ya afya kwa Mwanadamu kwa kushirikiana? Kama inawezekana kwa nini hizo sekta mbili bado zina utengano mkubwa nchini Tanzania. Unafikiri Kifanyike nini ili ushirikiano huo uwepo kama inafaa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
3 comments:
Serikali iwaone waganga wa tiba asilia kama wataalamu na iwape mafunzo zaidi na fedha za kutosha.
jonathan
Yes!huyo nadhani Dr. Bwire wa shirati namfahamu. Ni mfano wa kuigwa maana jamaa anajituma sana na anafuatilia sana wagonjwa kuhakikisha kuwa wanapata huduma nzuri na kwa wakati muafaka!
Bigup mzee naona sasa unafundisha na waganga wa jadi maadili ya job.
Adamu
karibu 99% ya dawa zote ulimwenguni zinatokana na miti shamba
cheers
Post a Comment