Saturday, May 5, 2012

Hongera sana Prof. Muhongo


SOTE TUNAMPONGEZA PROF.DR.S. MUHONGO KUTEULIWA NA RAIS KUWA MBUNGE NA PIA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI.
Kuteuliwa kwako kuwa Waziri katika Wizara nyeti ya  Nishati & Madini ni kiashiria cha wewe kuwa Mwajibikaji, Mwaminifu na mwenye Elimu & Ujuzi husika. Baba & Mama Hongereni sana.
 
 Tunakutakia kazi njema kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu.

No comments: