Friday, August 31, 2012

Udanganyifu katika Mitihani - Swali la kipima joto


Jawabu la kukabili udanganyifu katika mitihani ya shule za msingi liko katika kuhakikisha kuwa tunakuwa na mfumo endelevu wa utoaji na usimamizi wa elimu bora na tathmini yake kuanzia Wizarani hasi Shuleni (a sustainable and effective quality assurance system of education). Mfumo huu lazima uangalie inputs zote yaani rasilimali-wanadamu (Waalimu, Watumishi wengine & Wanafunzi), sera, mitaala, miundombinu, vitendea kazi na pia michakato (processes) na bila kusahau stadi katika usimamizi wa mitihani (examination administration).


wa - Chirangi

No comments: